Taarifa mpya zinaonyesha kuwa kampuni ya SpaceX ya Elon Musk sasa ina thamani inayokadiriwa kufikia $2.5 Trillion, wakati soko lote la cryptocurrency kwa pamoja lina thamani ya takribani $2.2 Trillion. Hii ina maana kwamba kampuni moja pekee ya teknolojia ya …
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani inaweza kurudisha mali za Iran zilizokuwa zimezuiwa kwa muda mrefu, akisisitiza kuwa: “Sio pesa zetu, ni pesa zao.” Kauli hii imekuja wakati mazungumzo kati ya Marekani na Iran yakiendelea, huku pande …


